Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #70 Translated in Swahili

ثُمَّ أَغْرَقْنَا الْآخَرِينَ
Kisha tukawazamisha hao wengine.
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُمْ مُؤْمِنِينَ
Hakika bila ya shaka katika hayo ipo Ishara; lakini wengi wao si katika wenye kuamini.
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Na kwa hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
وَاتْلُ عَلَيْهِمْ نَبَأَ إِبْرَاهِيمَ
Na wasomee khabari za Ibrahim.
إِذْ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِ مَا تَعْبُدُونَ
Alipo mwambia baba yake na kaumu yake: Mnaabudu nini?

Choose other languages: