Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #210 Translated in Swahili

ثُمَّ جَاءَهُمْ مَا كَانُوا يُوعَدُونَ
Kisha yakawafikia waliyo kuwa wakiahidiwa,
مَا أَغْنَىٰ عَنْهُمْ مَا كَانُوا يُمَتَّعُونَ
Yatawafaa nini yale waliyo stareheshewa?
وَمَا أَهْلَكْنَا مِنْ قَرْيَةٍ إِلَّا لَهَا مُنْذِرُونَ
Wala hatukuangamiza mji wo wote ila ulikuwa na waonyaji -
ذِكْرَىٰ وَمَا كُنَّا ظَالِمِينَ
Kuwa ni ukumbusho. Wala Sisi hatukuwa wenye kudhulumu.
وَمَا تَنَزَّلَتْ بِهِ الشَّيَاطِينُ
Wala Mashet'ani hawakuteremka nayo,

Choose other languages: