Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #209 Translated in Swahili

أَفَرَأَيْتَ إِنْ مَتَّعْنَاهُمْ سِنِينَ
Waonaje kama tukiwastarehesha kwa miaka,
ثُمَّ جَاءَهُمْ مَا كَانُوا يُوعَدُونَ
Kisha yakawafikia waliyo kuwa wakiahidiwa,
مَا أَغْنَىٰ عَنْهُمْ مَا كَانُوا يُمَتَّعُونَ
Yatawafaa nini yale waliyo stareheshewa?
وَمَا أَهْلَكْنَا مِنْ قَرْيَةٍ إِلَّا لَهَا مُنْذِرُونَ
Wala hatukuangamiza mji wo wote ila ulikuwa na waonyaji -
ذِكْرَىٰ وَمَا كُنَّا ظَالِمِينَ
Kuwa ni ukumbusho. Wala Sisi hatukuwa wenye kudhulumu.

Choose other languages: