Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #208 Translated in Swahili

أَفَبِعَذَابِنَا يَسْتَعْجِلُونَ
Basi, je, wanaihimiza adhabu yetu?
أَفَرَأَيْتَ إِنْ مَتَّعْنَاهُمْ سِنِينَ
Waonaje kama tukiwastarehesha kwa miaka,
ثُمَّ جَاءَهُمْ مَا كَانُوا يُوعَدُونَ
Kisha yakawafikia waliyo kuwa wakiahidiwa,
مَا أَغْنَىٰ عَنْهُمْ مَا كَانُوا يُمَتَّعُونَ
Yatawafaa nini yale waliyo stareheshewa?
وَمَا أَهْلَكْنَا مِنْ قَرْيَةٍ إِلَّا لَهَا مُنْذِرُونَ
Wala hatukuangamiza mji wo wote ila ulikuwa na waonyaji -

Choose other languages: