Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #206 Translated in Swahili

فَيَأْتِيَهُمْ بَغْتَةً وَهُمْ لَا يَشْعُرُونَ
Basi itawafikia kwa ghafla, na hali hawana khabari.
فَيَقُولُوا هَلْ نَحْنُ مُنْظَرُونَ
Na watasema: Je, tutapewa muhula?
أَفَبِعَذَابِنَا يَسْتَعْجِلُونَ
Basi, je, wanaihimiza adhabu yetu?
أَفَرَأَيْتَ إِنْ مَتَّعْنَاهُمْ سِنِينَ
Waonaje kama tukiwastarehesha kwa miaka,
ثُمَّ جَاءَهُمْ مَا كَانُوا يُوعَدُونَ
Kisha yakawafikia waliyo kuwa wakiahidiwa,

Choose other languages: