Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #161 Translated in Swahili

فَعَقَرُوهَا فَأَصْبَحُوا نَادِمِينَ
Lakini wakamuuwa, na wakawa wenye kujuta.
فَأَخَذَهُمُ الْعَذَابُ ۗ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُمْ مُؤْمِنِينَ
Basi ikawapata adhabu. Hakika katika hayo ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
كَذَّبَتْ قَوْمُ لُوطٍ الْمُرْسَلِينَ
Watu wa Lut'i waliwakanusha Mitume.
إِذْ قَالَ لَهُمْ أَخُوهُمْ لُوطٌ أَلَا تَتَّقُونَ
Alipo waambia ndugu yao, Lut'i: Je! Hamumchimngu?

Choose other languages: