Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #117 Translated in Swahili

إِنْ حِسَابُهُمْ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّي ۖ لَوْ تَشْعُرُونَ
Hisabu yao haiko ila kwa Mola wao Mlezi, laiti mngeli tambua!
وَمَا أَنَا بِطَارِدِ الْمُؤْمِنِينَ
Wala mimi si wa kuwafukuza Waumini.
إِنْ أَنَا إِلَّا نَذِيرٌ مُبِينٌ
Mimi si cho chote ila ni Mwonyaji wa dhaahiri shaahiri.
قَالُوا لَئِنْ لَمْ تَنْتَهِ يَا نُوحُ لَتَكُونَنَّ مِنَ الْمَرْجُومِينَ
Wakasema: Ikiwa huachi, ewe Nuhu, bila ya shaka utapigwa mawe.
قَالَ رَبِّ إِنَّ قَوْمِي كَذَّبُونِ
Akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika watu wangu wamenikanusha.

Choose other languages: