Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #114 Translated in Swahili

فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَطِيعُونِ
Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
قَالُوا أَنُؤْمِنُ لَكَ وَاتَّبَعَكَ الْأَرْذَلُونَ
Wakasema: Je! Tukuamini wewe, hali wanao kufuata ni watu wa chini?
قَالَ وَمَا عِلْمِي بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ
Akasema: Nayajuaje waliyo kuwa wakiyafanya?
إِنْ حِسَابُهُمْ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّي ۖ لَوْ تَشْعُرُونَ
Hisabu yao haiko ila kwa Mola wao Mlezi, laiti mngeli tambua!
وَمَا أَنَا بِطَارِدِ الْمُؤْمِنِينَ
Wala mimi si wa kuwafukuza Waumini.

Choose other languages: