Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #113 Translated in Swahili

وَمَا أَسْأَلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Na sikutakini juu yake ujira, kwani ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَطِيعُونِ
Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
قَالُوا أَنُؤْمِنُ لَكَ وَاتَّبَعَكَ الْأَرْذَلُونَ
Wakasema: Je! Tukuamini wewe, hali wanao kufuata ni watu wa chini?
قَالَ وَمَا عِلْمِي بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ
Akasema: Nayajuaje waliyo kuwa wakiyafanya?
إِنْ حِسَابُهُمْ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّي ۖ لَوْ تَشْعُرُونَ
Hisabu yao haiko ila kwa Mola wao Mlezi, laiti mngeli tambua!

Choose other languages: