Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #112 Translated in Swahili

فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَطِيعُونِ
Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
وَمَا أَسْأَلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Na sikutakini juu yake ujira, kwani ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَطِيعُونِ
Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
قَالُوا أَنُؤْمِنُ لَكَ وَاتَّبَعَكَ الْأَرْذَلُونَ
Wakasema: Je! Tukuamini wewe, hali wanao kufuata ni watu wa chini?
قَالَ وَمَا عِلْمِي بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ
Akasema: Nayajuaje waliyo kuwa wakiyafanya?

Choose other languages: