Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #168 Translated in Swahili

وَمَا مِنَّا إِلَّا لَهُ مَقَامٌ مَعْلُومٌ
Na hapana katika sisi ila anapo mahali pake maalumu.
وَإِنَّا لَنَحْنُ الصَّافُّونَ
Na hakika bila ya shaka sisi ndio wajipangao safu.
وَإِنَّا لَنَحْنُ الْمُسَبِّحُونَ
Na hakika sisi ndio wenye kusabihi kutakasa.
وَإِنْ كَانُوا لَيَقُولُونَ
Na walikuwapo walio kuwa wakisema:
لَوْ أَنَّ عِنْدَنَا ذِكْرًا مِنَ الْأَوَّلِينَ
Tungeli kuwa na Ukumbusho kama wa watu wa zamani,

Choose other languages: