Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #170 Translated in Swahili

وَإِنَّا لَنَحْنُ الْمُسَبِّحُونَ
Na hakika sisi ndio wenye kusabihi kutakasa.
وَإِنْ كَانُوا لَيَقُولُونَ
Na walikuwapo walio kuwa wakisema:
لَوْ أَنَّ عِنْدَنَا ذِكْرًا مِنَ الْأَوَّلِينَ
Tungeli kuwa na Ukumbusho kama wa watu wa zamani,
لَكُنَّا عِبَادَ اللَّهِ الْمُخْلَصِينَ
Bila ya shaka tungeli kuwa ni waja wa Mwenyezi Mungu wenye ikhlasi.
فَكَفَرُوا بِهِ ۖ فَسَوْفَ يَعْلَمُونَ
Lakini waliukataa. Basi watakuja jua.

Choose other languages: