Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #171 Translated in Swahili

وَإِنْ كَانُوا لَيَقُولُونَ
Na walikuwapo walio kuwa wakisema:
لَوْ أَنَّ عِنْدَنَا ذِكْرًا مِنَ الْأَوَّلِينَ
Tungeli kuwa na Ukumbusho kama wa watu wa zamani,
لَكُنَّا عِبَادَ اللَّهِ الْمُخْلَصِينَ
Bila ya shaka tungeli kuwa ni waja wa Mwenyezi Mungu wenye ikhlasi.
فَكَفَرُوا بِهِ ۖ فَسَوْفَ يَعْلَمُونَ
Lakini waliukataa. Basi watakuja jua.
وَلَقَدْ سَبَقَتْ كَلِمَتُنَا لِعِبَادِنَا الْمُرْسَلِينَ
Na bila ya shaka neno letu lilikwisha tangulia kwa waja wetu walio tumwa.

Choose other languages: