Quran Apps in many lanuages:

Surah An-Naziat Ayahs #14 Translated in Swahili

يَقُولُونَ أَإِنَّا لَمَرْدُودُونَ فِي الْحَافِرَةِ
Sasa wanasema: Ati kweli tutarudishwa kwenye hali ya kwanza?
أَإِذَا كُنَّا عِظَامًا نَخِرَةً
Hata tukiwa mifupa iliyo bunguliwa?
قَالُوا تِلْكَ إِذًا كَرَّةٌ خَاسِرَةٌ
Wanasema: Basi marejeo hayo ni yenye khasara!
فَإِنَّمَا هِيَ زَجْرَةٌ وَاحِدَةٌ
Kwa hakika hayo ni ukelele mmoja tu,
فَإِذَا هُمْ بِالسَّاهِرَةِ
Mara watakuwa kwenye uwanda wa mkutano!

Choose other languages: