Quran Apps in many lanuages:

Surah An-Naba Ayahs #30 Translated in Swahili

جَزَاءً وِفَاقًا
Ndio jaza muwafaka.
إِنَّهُمْ كَانُوا لَا يَرْجُونَ حِسَابًا
Hakika hao hawakuwa wakitaraji kuwa kuna hisabu.
وَكَذَّبُوا بِآيَاتِنَا كِذَّابًا
Na wakikanusha Aya zetu kwa nguvu.
وَكُلَّ شَيْءٍ أَحْصَيْنَاهُ كِتَابًا
Na kila kitu Sisi tumekidhibiti kwa kukiandika.
فَذُوقُوا فَلَنْ نَزِيدَكُمْ إِلَّا عَذَابًا
Basi onjeni! Nasi hatutakuzidishieni ila adhabu!

Choose other languages: