Quran Apps in many lanuages:

Surah An-Naba Ayahs #29 Translated in Swahili

إِلَّا حَمِيمًا وَغَسَّاقًا
Ila maji yamoto sana na usaha,
جَزَاءً وِفَاقًا
Ndio jaza muwafaka.
إِنَّهُمْ كَانُوا لَا يَرْجُونَ حِسَابًا
Hakika hao hawakuwa wakitaraji kuwa kuna hisabu.
وَكَذَّبُوا بِآيَاتِنَا كِذَّابًا
Na wakikanusha Aya zetu kwa nguvu.
وَكُلَّ شَيْءٍ أَحْصَيْنَاهُ كِتَابًا
Na kila kitu Sisi tumekidhibiti kwa kukiandika.

Choose other languages: