Quran Apps in many lanuages:

Surah An-Naba Ayahs #28 Translated in Swahili

لَا يَذُوقُونَ فِيهَا بَرْدًا وَلَا شَرَابًا
Hawataonja humo chochote kibaridi wala kinywaji,
إِلَّا حَمِيمًا وَغَسَّاقًا
Ila maji yamoto sana na usaha,
جَزَاءً وِفَاقًا
Ndio jaza muwafaka.
إِنَّهُمْ كَانُوا لَا يَرْجُونَ حِسَابًا
Hakika hao hawakuwa wakitaraji kuwa kuna hisabu.
وَكَذَّبُوا بِآيَاتِنَا كِذَّابًا
Na wakikanusha Aya zetu kwa nguvu.

Choose other languages: