Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qaria Ayahs #7 Translated in Swahili

وَمَا أَدْرَاكَ مَا الْقَارِعَةُ
Na nini kitacho kujuilisha nini Inayo gonga?
يَوْمَ يَكُونُ النَّاسُ كَالْفَرَاشِ الْمَبْثُوثِ
Siku ambayo watu watakuwa kama nondo walio tawanyika;
وَتَكُونُ الْجِبَالُ كَالْعِهْنِ الْمَنْفُوشِ
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
فَأَمَّا مَنْ ثَقُلَتْ مَوَازِينُهُ
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
فَهُوَ فِي عِيشَةٍ رَاضِيَةٍ
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.

Choose other languages: