Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qaria Ayahs #10 Translated in Swahili

فَأَمَّا مَنْ ثَقُلَتْ مَوَازِينُهُ
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
فَهُوَ فِي عِيشَةٍ رَاضِيَةٍ
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.
وَأَمَّا مَنْ خَفَّتْ مَوَازِينُهُ
Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
فَأُمُّهُ هَاوِيَةٌ
Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!
وَمَا أَدْرَاكَ مَا هِيَهْ
Na nini kitacho kujuilisha nini hiyo?

Choose other languages: