Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qaria Ayahs #9 Translated in Swahili

وَتَكُونُ الْجِبَالُ كَالْعِهْنِ الْمَنْفُوشِ
Na milima itakuwa kama sufi zilizo chambuliwa!
فَأَمَّا مَنْ ثَقُلَتْ مَوَازِينُهُ
Basi yule ambaye mizani yake itakuwa nzito,
فَهُوَ فِي عِيشَةٍ رَاضِيَةٍ
Huyo atakuwa katika maisha ya kupendeza.
وَأَمَّا مَنْ خَفَّتْ مَوَازِينُهُ
Na yule ambaye mizani yake itakuwa khafifu,
فَأُمُّهُ هَاوِيَةٌ
Huyo maskani yake yatakuwa Moto wa Hawiya!

Choose other languages: