Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qamar Ayahs #51 Translated in Swahili

إِنَّ الْمُجْرِمِينَ فِي ضَلَالٍ وَسُعُرٍ
Hakika wakosefu wamo katika upotofu na wazimu.
يَوْمَ يُسْحَبُونَ فِي النَّارِ عَلَىٰ وُجُوهِهِمْ ذُوقُوا مَسَّ سَقَرَ
Siku watakapo kokotwa Motoni kifudifudi waambiwe: Onjeni mguso wa Jahannamu!
إِنَّا كُلَّ شَيْءٍ خَلَقْنَاهُ بِقَدَرٍ
Kwa hakika Sisi tumekiumba kila kitu kwa kipimo.
وَمَا أَمْرُنَا إِلَّا وَاحِدَةٌ كَلَمْحٍ بِالْبَصَرِ
Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
وَلَقَدْ أَهْلَكْنَا أَشْيَاعَكُمْ فَهَلْ مِنْ مُدَّكِرٍ
Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka?

Choose other languages: