Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qamar Ayahs #53 Translated in Swahili

إِنَّا كُلَّ شَيْءٍ خَلَقْنَاهُ بِقَدَرٍ
Kwa hakika Sisi tumekiumba kila kitu kwa kipimo.
وَمَا أَمْرُنَا إِلَّا وَاحِدَةٌ كَلَمْحٍ بِالْبَصَرِ
Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
وَلَقَدْ أَهْلَكْنَا أَشْيَاعَكُمْ فَهَلْ مِنْ مُدَّكِرٍ
Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka?
وَكُلُّ شَيْءٍ فَعَلُوهُ فِي الزُّبُرِ
Na kila jambo walilo lifanya limo vitabuni.
وَكُلُّ صَغِيرٍ وَكَبِيرٍ مُسْتَطَرٌ
Na kila kidogo na kikubwa kimeandikwa.

Choose other languages: