Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qamar Ayahs #55 Translated in Swahili

وَكُلُّ شَيْءٍ فَعَلُوهُ فِي الزُّبُرِ
Na kila jambo walilo lifanya limo vitabuni.
وَكُلُّ صَغِيرٍ وَكَبِيرٍ مُسْتَطَرٌ
Na kila kidogo na kikubwa kimeandikwa.
إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي جَنَّاتٍ وَنَهَرٍ
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na mito.
فِي مَقْعَدِ صِدْقٍ عِنْدَ مَلِيكٍ مُقْتَدِرٍ
Katika makalio ya haki kwa Mfalme Mwenye uweza.

Choose other languages: