Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qalam Ayahs #40 Translated in Swahili

مَا لَكُمْ كَيْفَ تَحْكُمُونَ
Mna nini? Mnahukumu vipi?
أَمْ لَكُمْ كِتَابٌ فِيهِ تَدْرُسُونَ
Au mnacho kitabu ambacho ndani yake mnasoma?
إِنَّ لَكُمْ فِيهِ لَمَا تَخَيَّرُونَ
Kuwa mtapata humo mnayo yapenda?
أَمْ لَكُمْ أَيْمَانٌ عَلَيْنَا بَالِغَةٌ إِلَىٰ يَوْمِ الْقِيَامَةِ ۙ إِنَّ لَكُمْ لَمَا تَحْكُمُونَ
Au mnazo ahadi za viapo juu yetu za kufika Siku ya Kiyama ya kuwa hakika mtapata kila mnayo jihukumia?
سَلْهُمْ أَيُّهُمْ بِذَٰلِكَ زَعِيمٌ
Waulize: Ni nani miongoni mwao dhamini wa haya?

Choose other languages: