Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Mutaffifin Ayahs #12 Translated in Swahili

وَمَا أَدْرَاكَ مَا سِجِّينٌ
Unajua nini Sijjin?
كِتَابٌ مَرْقُومٌ
Kitabu kilicho andikwa.
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِلْمُكَذِّبِينَ
Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha!
الَّذِينَ يُكَذِّبُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ
Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.
وَمَا يُكَذِّبُ بِهِ إِلَّا كُلُّ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ
Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.

Choose other languages: