Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Mutaffifin Ayahs #13 Translated in Swahili

كِتَابٌ مَرْقُومٌ
Kitabu kilicho andikwa.
وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِلْمُكَذِّبِينَ
Ole wao siku hiyo kwa wanao kadhibisha!
الَّذِينَ يُكَذِّبُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ
Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.
وَمَا يُكَذِّبُ بِهِ إِلَّا كُلُّ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ
Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.
إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ
Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!

Choose other languages: