Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Mumenoon Ayahs #7 Translated in Swahili

وَالَّذِينَ هُمْ عَنِ اللَّغْوِ مُعْرِضُونَ
Na ambao hujiepusha na mambo ya upuuzi,
وَالَّذِينَ هُمْ لِلزَّكَاةِ فَاعِلُونَ
Na ambao wanatoa Zaka,
وَالَّذِينَ هُمْ لِفُرُوجِهِمْ حَافِظُونَ
Na ambao wanazilinda tupu zao,
إِلَّا عَلَىٰ أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ مَلُومِينَ
Isipo kuwa kwa wake zao au kwa iliyo wamiliki mikono yao ya kulia. Kwani hao si wenye kulaumiwa.
فَمَنِ ابْتَغَىٰ وَرَاءَ ذَٰلِكَ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْعَادُونَ
Lakini anaye taka kinyume cha haya, basi hao ndio warukao mipaka.

Choose other languages: