Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Mumenoon Ayahs #6 Translated in Swahili

الَّذِينَ هُمْ فِي صَلَاتِهِمْ خَاشِعُونَ
Ambao ni wanyenyekevu katika Sala zao,
وَالَّذِينَ هُمْ عَنِ اللَّغْوِ مُعْرِضُونَ
Na ambao hujiepusha na mambo ya upuuzi,
وَالَّذِينَ هُمْ لِلزَّكَاةِ فَاعِلُونَ
Na ambao wanatoa Zaka,
وَالَّذِينَ هُمْ لِفُرُوجِهِمْ حَافِظُونَ
Na ambao wanazilinda tupu zao,
إِلَّا عَلَىٰ أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ مَلُومِينَ
Isipo kuwa kwa wake zao au kwa iliyo wamiliki mikono yao ya kulia. Kwani hao si wenye kulaumiwa.

Choose other languages: