Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Muddaththir Ayahs #46 Translated in Swahili

مَا سَلَكَكُمْ فِي سَقَرَ
Ni nini kilicho kupelekeni Motoni?
قَالُوا لَمْ نَكُ مِنَ الْمُصَلِّينَ
Waseme: Hatukuwa miongoni walio kuwa wakisali.
وَلَمْ نَكُ نُطْعِمُ الْمِسْكِينَ
Wala hatukuwa tukiwalisha masikini.
وَكُنَّا نَخُوضُ مَعَ الْخَائِضِينَ
Na tulikuwa tukizama pamoja na walio zama katika maovu.
وَكُنَّا نُكَذِّبُ بِيَوْمِ الدِّينِ
Na tulikuwa tukiikanusha siku ya malipo.

Choose other languages: