Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Maarij Ayahs #36 Translated in Swahili

وَالَّذِينَ هُمْ لِأَمَانَاتِهِمْ وَعَهْدِهِمْ رَاعُونَ
Na ambao wanazichunga amana zao na ahadi zao,
وَالَّذِينَ هُمْ بِشَهَادَاتِهِمْ قَائِمُونَ
Na ambao wanasimama imara katika ushahidi wao,
وَالَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَاتِهِمْ يُحَافِظُونَ
Na ambao wanazihifadhi Sala zao.
أُولَٰئِكَ فِي جَنَّاتٍ مُكْرَمُونَ
Hao ndio watakao hishimiwa Peponi.
فَمَالِ الَّذِينَ كَفَرُوا قِبَلَكَ مُهْطِعِينَ
Wana nini wale walio kufuru wanakutumbulia macho tu?

Choose other languages: