Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Maarij Ayahs #37 Translated in Swahili

وَالَّذِينَ هُمْ بِشَهَادَاتِهِمْ قَائِمُونَ
Na ambao wanasimama imara katika ushahidi wao,
وَالَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَاتِهِمْ يُحَافِظُونَ
Na ambao wanazihifadhi Sala zao.
أُولَٰئِكَ فِي جَنَّاتٍ مُكْرَمُونَ
Hao ndio watakao hishimiwa Peponi.
فَمَالِ الَّذِينَ كَفَرُوا قِبَلَكَ مُهْطِعِينَ
Wana nini wale walio kufuru wanakutumbulia macho tu?
عَنِ الْيَمِينِ وَعَنِ الشِّمَالِ عِزِينَ
Makundi kwa makundi upande wa kulia na upande wa kushoto!

Choose other languages: