Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Maarij Ayahs #35 Translated in Swahili

فَمَنِ ابْتَغَىٰ وَرَاءَ ذَٰلِكَ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْعَادُونَ
Lakini wanao taka kinyume ya haya, basi hao ndio wanao ruka mipaka.
وَالَّذِينَ هُمْ لِأَمَانَاتِهِمْ وَعَهْدِهِمْ رَاعُونَ
Na ambao wanazichunga amana zao na ahadi zao,
وَالَّذِينَ هُمْ بِشَهَادَاتِهِمْ قَائِمُونَ
Na ambao wanasimama imara katika ushahidi wao,
وَالَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَاتِهِمْ يُحَافِظُونَ
Na ambao wanazihifadhi Sala zao.
أُولَٰئِكَ فِي جَنَّاتٍ مُكْرَمُونَ
Hao ndio watakao hishimiwa Peponi.

Choose other languages: