Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Hijr Ayahs #77 Translated in Swahili

فَأَخَذَتْهُمُ الصَّيْحَةُ مُشْرِقِينَ
Ukelele ukawatwaa wakipambaukiwa.
فَجَعَلْنَا عَالِيَهَا سَافِلَهَا وَأَمْطَرْنَا عَلَيْهِمْ حِجَارَةً مِنْ سِجِّيلٍ
Na tukaigeuza nchi juu chini, na tukawanyeshea mvua ya mawe ya udongo wa Motoni.
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَاتٍ لِلْمُتَوَسِّمِينَ
Hakika katika hayo zipo ishara kwa waaguzi.
وَإِنَّهَا لَبِسَبِيلٍ مُقِيمٍ
Na miji hii ipo kwenye njia inayo pitiwa.
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً لِلْمُؤْمِنِينَ
Hakika katika hayo ipo ishara kwa Waumini.

Choose other languages: