Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Hijr Ayahs #78 Translated in Swahili

فَجَعَلْنَا عَالِيَهَا سَافِلَهَا وَأَمْطَرْنَا عَلَيْهِمْ حِجَارَةً مِنْ سِجِّيلٍ
Na tukaigeuza nchi juu chini, na tukawanyeshea mvua ya mawe ya udongo wa Motoni.
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَاتٍ لِلْمُتَوَسِّمِينَ
Hakika katika hayo zipo ishara kwa waaguzi.
وَإِنَّهَا لَبِسَبِيلٍ مُقِيمٍ
Na miji hii ipo kwenye njia inayo pitiwa.
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً لِلْمُؤْمِنِينَ
Hakika katika hayo ipo ishara kwa Waumini.
وَإِنْ كَانَ أَصْحَابُ الْأَيْكَةِ لَظَالِمِينَ
Na hakika watu wa Kichakani walikuwa wenye kudhulumu.

Choose other languages: