Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Hijr Ayahs #74 Translated in Swahili

قَالُوا أَوَلَمْ نَنْهَكَ عَنِ الْعَالَمِينَ
Wakasema: Sisi hatukukukataza usimkaribishe yeyote?
قَالَ هَٰؤُلَاءِ بَنَاتِي إِنْ كُنْتُمْ فَاعِلِينَ
Akasema: Hawa binti zangu, ikiwa nyinyi ni watendaji.
لَعَمْرُكَ إِنَّهُمْ لَفِي سَكْرَتِهِمْ يَعْمَهُونَ
Naapa kwa umri wako! Hakika hao walikuwa katika ulevi wao, wakihangaika ovyo.
فَأَخَذَتْهُمُ الصَّيْحَةُ مُشْرِقِينَ
Ukelele ukawatwaa wakipambaukiwa.
فَجَعَلْنَا عَالِيَهَا سَافِلَهَا وَأَمْطَرْنَا عَلَيْهِمْ حِجَارَةً مِنْ سِجِّيلٍ
Na tukaigeuza nchi juu chini, na tukawanyeshea mvua ya mawe ya udongo wa Motoni.

Choose other languages: