Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Hijr Ayahs #73 Translated in Swahili

وَاتَّقُوا اللَّهَ وَلَا تُخْزُونِ
Na mcheni Mwenyezi Mungu, wala msinihizi.
قَالُوا أَوَلَمْ نَنْهَكَ عَنِ الْعَالَمِينَ
Wakasema: Sisi hatukukukataza usimkaribishe yeyote?
قَالَ هَٰؤُلَاءِ بَنَاتِي إِنْ كُنْتُمْ فَاعِلِينَ
Akasema: Hawa binti zangu, ikiwa nyinyi ni watendaji.
لَعَمْرُكَ إِنَّهُمْ لَفِي سَكْرَتِهِمْ يَعْمَهُونَ
Naapa kwa umri wako! Hakika hao walikuwa katika ulevi wao, wakihangaika ovyo.
فَأَخَذَتْهُمُ الصَّيْحَةُ مُشْرِقِينَ
Ukelele ukawatwaa wakipambaukiwa.

Choose other languages: