Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Haaqqa Ayahs #41 Translated in Swahili

لَا يَأْكُلُهُ إِلَّا الْخَاطِئُونَ
Chakula hicho hawakili ila wakosefu.
فَلَا أُقْسِمُ بِمَا تُبْصِرُونَ
Basi naapa kwa mnavyo viona,
وَمَا لَا تُبْصِرُونَ
Na msivyo viona,
إِنَّهُ لَقَوْلُ رَسُولٍ كَرِيمٍ
Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.
وَمَا هُوَ بِقَوْلِ شَاعِرٍ ۚ قَلِيلًا مَا تُؤْمِنُونَ
Wala si kauli ya mtunga mashairi. Ni machache sana mnayo yaamini.

Choose other languages: