Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Haaqqa Ayahs #43 Translated in Swahili

وَمَا لَا تُبْصِرُونَ
Na msivyo viona,
إِنَّهُ لَقَوْلُ رَسُولٍ كَرِيمٍ
Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.
وَمَا هُوَ بِقَوْلِ شَاعِرٍ ۚ قَلِيلًا مَا تُؤْمِنُونَ
Wala si kauli ya mtunga mashairi. Ni machache sana mnayo yaamini.
وَلَا بِقَوْلِ كَاهِنٍ ۚ قَلِيلًا مَا تَذَكَّرُونَ
Wala si kauli ya kuhani. Ni machache mnayo yakumbuka.
تَنْزِيلٌ مِنْ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Ni uteremsho utokao kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

Choose other languages: