Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Haaqqa Ayahs #46 Translated in Swahili

وَلَا بِقَوْلِ كَاهِنٍ ۚ قَلِيلًا مَا تَذَكَّرُونَ
Wala si kauli ya kuhani. Ni machache mnayo yakumbuka.
تَنْزِيلٌ مِنْ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Ni uteremsho utokao kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
وَلَوْ تَقَوَّلَ عَلَيْنَا بَعْضَ الْأَقَاوِيلِ
Na lau kama angeli tuzulia baadhi ya maneno tu,
لَأَخَذْنَا مِنْهُ بِالْيَمِينِ
Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,
ثُمَّ لَقَطَعْنَا مِنْهُ الْوَتِينَ
Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!

Choose other languages: