Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Haaqqa Ayahs #49 Translated in Swahili

لَأَخَذْنَا مِنْهُ بِالْيَمِينِ
Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,
ثُمَّ لَقَطَعْنَا مِنْهُ الْوَتِينَ
Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
فَمَا مِنْكُمْ مِنْ أَحَدٍ عَنْهُ حَاجِزِينَ
Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli weza kutuzuia.
وَإِنَّهُ لَتَذْكِرَةٌ لِلْمُتَّقِينَ
Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.
وَإِنَّا لَنَعْلَمُ أَنَّ مِنْكُمْ مُكَذِّبِينَ
Na hakika Sisi bila ya shaka tunajua kwamba miongoni mwenu wapo wanao kadhibisha.

Choose other languages: