Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Haaqqa Ayahs #48 Translated in Swahili

وَلَوْ تَقَوَّلَ عَلَيْنَا بَعْضَ الْأَقَاوِيلِ
Na lau kama angeli tuzulia baadhi ya maneno tu,
لَأَخَذْنَا مِنْهُ بِالْيَمِينِ
Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,
ثُمَّ لَقَطَعْنَا مِنْهُ الْوَتِينَ
Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
فَمَا مِنْكُمْ مِنْ أَحَدٍ عَنْهُ حَاجِزِينَ
Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli weza kutuzuia.
وَإِنَّهُ لَتَذْكِرَةٌ لِلْمُتَّقِينَ
Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.

Choose other languages: