Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Haaqqa Ayahs #40 Translated in Swahili

وَلَا طَعَامٌ إِلَّا مِنْ غِسْلِينٍ
Wala hana chakula ila usaha wa watu wa Motoni.
لَا يَأْكُلُهُ إِلَّا الْخَاطِئُونَ
Chakula hicho hawakili ila wakosefu.
فَلَا أُقْسِمُ بِمَا تُبْصِرُونَ
Basi naapa kwa mnavyo viona,
وَمَا لَا تُبْصِرُونَ
Na msivyo viona,
إِنَّهُ لَقَوْلُ رَسُولٍ كَرِيمٍ
Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.

Choose other languages: