Quran Apps in many lanuages:

Surah Adh-Dhariyat Ayahs #12 Translated in Swahili

إِنَّكُمْ لَفِي قَوْلٍ مُخْتَلِفٍ
Hakika nyinyi bila ya shaka mmo katika kauli inayo khitalifiana.
يُؤْفَكُ عَنْهُ مَنْ أُفِكَ
Anageuzwa kutokana na haki mwenye kugeuzwa.
قُتِلَ الْخَرَّاصُونَ
Wazushi wameangamizwa.
الَّذِينَ هُمْ فِي غَمْرَةٍ سَاهُونَ
Ambao wameghafilika katika ujinga.
يَسْأَلُونَ أَيَّانَ يَوْمُ الدِّينِ
Wanauliza: Ni lini hiyo siku ya malipo?

Choose other languages: