Quran Apps in many lanuages:

Surah Adh-Dhariyat Ayahs #11 Translated in Swahili

وَالسَّمَاءِ ذَاتِ الْحُبُكِ
Naapa kwa mbingu zenye njia,
إِنَّكُمْ لَفِي قَوْلٍ مُخْتَلِفٍ
Hakika nyinyi bila ya shaka mmo katika kauli inayo khitalifiana.
يُؤْفَكُ عَنْهُ مَنْ أُفِكَ
Anageuzwa kutokana na haki mwenye kugeuzwa.
قُتِلَ الْخَرَّاصُونَ
Wazushi wameangamizwa.
الَّذِينَ هُمْ فِي غَمْرَةٍ سَاهُونَ
Ambao wameghafilika katika ujinga.

Choose other languages: