Quran Apps in many lanuages:

Surah Adh-Dhariyat Ayahs #13 Translated in Swahili

يُؤْفَكُ عَنْهُ مَنْ أُفِكَ
Anageuzwa kutokana na haki mwenye kugeuzwa.
قُتِلَ الْخَرَّاصُونَ
Wazushi wameangamizwa.
الَّذِينَ هُمْ فِي غَمْرَةٍ سَاهُونَ
Ambao wameghafilika katika ujinga.
يَسْأَلُونَ أَيَّانَ يَوْمُ الدِّينِ
Wanauliza: Ni lini hiyo siku ya malipo?
يَوْمَ هُمْ عَلَى النَّارِ يُفْتَنُونَ
Hiyo ni siku watakayo adhibiwa Motoni.

Choose other languages: