Quran Apps in many lanuages:

Surah Ya-Seen Ayahs #60 Translated in Swahili

هُمْ وَأَزْوَاجُهُمْ فِي ظِلَالٍ عَلَى الْأَرَائِكِ مُتَّكِئُونَ
Wao na wake zao wamo katika vivuli wameegemea juu ya viti vya fakhari.
لَهُمْ فِيهَا فَاكِهَةٌ وَلَهُمْ مَا يَدَّعُونَ
Watapata humo kila namna ya matunda na watapata kila watakacho kitaka.
سَلَامٌ قَوْلًا مِنْ رَبٍّ رَحِيمٍ
"Salama!" Hiyo ndiyo kauli itokayo kwa Mola Mlezi Mwenye kurehemu.
وَامْتَازُوا الْيَوْمَ أَيُّهَا الْمُجْرِمُونَ
Na enyi wakosefu! Jitengeni leo!
أَلَمْ أَعْهَدْ إِلَيْكُمْ يَا بَنِي آدَمَ أَنْ لَا تَعْبُدُوا الشَّيْطَانَ ۖ إِنَّهُ لَكُمْ عَدُوٌّ مُبِينٌ
Je! Sikuagana nanyi, enyi wanaadamu, kuwa msimuabudu Shet'ani? Hakika yeye ni adui dhaahiri kwenu.

Choose other languages: