Quran Apps in many lanuages:

Surah Nooh Ayahs #14 Translated in Swahili

فَقُلْتُ اسْتَغْفِرُوا رَبَّكُمْ إِنَّهُ كَانَ غَفَّارًا
Nikasema: Ombeni msamaha kwa Mola wenu Mlezi; hakika Yeye ni Mwingi wa kusamehe.
يُرْسِلِ السَّمَاءَ عَلَيْكُمْ مِدْرَارًا
Atakuleteeni mvua inyeshe mfululizo.
وَيُمْدِدْكُمْ بِأَمْوَالٍ وَبَنِينَ وَيَجْعَلْ لَكُمْ جَنَّاتٍ وَيَجْعَلْ لَكُمْ أَنْهَارًا
Na atakupeni mali na wana, na atakupeni mabustani na atakufanyieni mito.
مَا لَكُمْ لَا تَرْجُونَ لِلَّهِ وَقَارًا
Mna nini hamweki heshima ya Mwenyezi Mungu?
وَقَدْ خَلَقَكُمْ أَطْوَارًا
Na hali Yeye kakuumbeni daraja baada ya daraja?

Choose other languages: