Quran Apps in many lanuages:

Surah Nooh Ayahs #16 Translated in Swahili

وَيُمْدِدْكُمْ بِأَمْوَالٍ وَبَنِينَ وَيَجْعَلْ لَكُمْ جَنَّاتٍ وَيَجْعَلْ لَكُمْ أَنْهَارًا
Na atakupeni mali na wana, na atakupeni mabustani na atakufanyieni mito.
مَا لَكُمْ لَا تَرْجُونَ لِلَّهِ وَقَارًا
Mna nini hamweki heshima ya Mwenyezi Mungu?
وَقَدْ خَلَقَكُمْ أَطْوَارًا
Na hali Yeye kakuumbeni daraja baada ya daraja?
أَلَمْ تَرَوْا كَيْفَ خَلَقَ اللَّهُ سَبْعَ سَمَاوَاتٍ طِبَاقًا
Kwani hamwoni jinsi Mwenyezi Mungu alivyo ziumba mbingu saba kwa matabaka?
وَجَعَلَ الْقَمَرَ فِيهِنَّ نُورًا وَجَعَلَ الشَّمْسَ سِرَاجًا
Na akaufanya mwezi ndani yake uwe nuru, na akalifanya jua kuwa taa?

Choose other languages: