Quran Apps in many lanuages:

Surah Fatir Ayahs #21 Translated in Swahili

وَمَا ذَٰلِكَ عَلَى اللَّهِ بِعَزِيزٍ
Na hilo si gumu kwa Mwenyezi Mungu.
وَلَا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَىٰ ۚ وَإِنْ تَدْعُ مُثْقَلَةٌ إِلَىٰ حِمْلِهَا لَا يُحْمَلْ مِنْهُ شَيْءٌ وَلَوْ كَانَ ذَا قُرْبَىٰ ۗ إِنَّمَا تُنْذِرُ الَّذِينَ يَخْشَوْنَ رَبَّهُمْ بِالْغَيْبِ وَأَقَامُوا الصَّلَاةَ ۚ وَمَنْ تَزَكَّىٰ فَإِنَّمَا يَتَزَكَّىٰ لِنَفْسِهِ ۚ وَإِلَى اللَّهِ الْمَصِيرُ
Na mbebaji habebi mzigo wa mwingine. Na aliye topewa na mzigo wake akiomba uchukuliwe hautachukuliwa hata kidogo, na angamwomba jamaa yake. Hakika wewe unawaonya wale wanao mcha Mola wao Mlezi kwa ghaibu, na wanashika Sala. Na anaye jitakasa, basi anajitakasa kwa ajili ya nafsi yake. Na marejeo ni kwa Mwenyezi Mungu.
وَمَا يَسْتَوِي الْأَعْمَىٰ وَالْبَصِيرُ
Na kipofu na mwenye kuona hawalingani.
وَلَا الظُّلُمَاتُ وَلَا النُّورُ
Wala giza na mwangaza.
وَلَا الظِّلُّ وَلَا الْحَرُورُ
Wala kivuli na joto.

Choose other languages: