Quran Apps in many lanuages:

Surah Fatir Ayahs #23 Translated in Swahili

وَمَا يَسْتَوِي الْأَعْمَىٰ وَالْبَصِيرُ
Na kipofu na mwenye kuona hawalingani.
وَلَا الظُّلُمَاتُ وَلَا النُّورُ
Wala giza na mwangaza.
وَلَا الظِّلُّ وَلَا الْحَرُورُ
Wala kivuli na joto.
وَمَا يَسْتَوِي الْأَحْيَاءُ وَلَا الْأَمْوَاتُ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُسْمِعُ مَنْ يَشَاءُ ۖ وَمَا أَنْتَ بِمُسْمِعٍ مَنْ فِي الْقُبُورِ
Wala hawalingani walio hai na maiti. Hakika Mwenyezi Mungu humsikilizisha amtakaye. Wala wewe si wa kuwasikilizisha walio makaburini.
إِنْ أَنْتَ إِلَّا نَذِيرٌ
Hukuwa wewe ila ni mwonyaji.

Choose other languages: